Posts

Vyombo vya Magharibi vyaakisi kwa wingi miongozo ya Kiongozi Muadhamu

Image
  Vyombo vya Magharibi vyaakisi kwa wingi miongozo ya Kiongozi Muadhamu Dec 12, 2024 06:31 UTC Mashirika ya habari ya nchi za Magharibi yameakisi kwa wingi hotuba na miongozo muhimu ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliyotoa jana Jumano akisisitiza kuwa Marekani na utawala wa Kizayuni ni wahusika wakuu wa matukio ya Syria. Shirika la habari la Reuters la utawala wa kifalme wa Uingereza limeandika: (Ayatullah) Ali Khamenei Jumatano amesema, Iran ina ushahidi unaoonesha kuwa, kupinduliwa serikali ya Rais Assad wa Syria ni njama za Marekani na Israel na mmoja wa majirani wa Syria lakini hakutaja ni jirani gani huyo. Shirika hilo la habari limeendelea kuandika: Uturuki ambayo ni mwanachama wa NATO, ilikuwa inazikalia ardhi za kaskazini mwa Syria baada ya kufanya mashambulizi kadhaa dhidi ya wanamgambo wa Kikurdi na (Erdogan) alikuwa mmoja wa waungaji mko...

Viongozi wa EAC wajadili amani Mashariki wa DRC

Image
  Viongozi wa EAC wajadili amani Mashariki wa DRC Viongozi wa nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki wamefanya juhudi kwa mara nyingine za kujaribu kuleta amani mashariki mwa Jamhur ya Kidemokrasia ya Kongo, DRC. Imechapishwa: 02/12/2024 - 14:52 Dakika 1 Viongozi walioshiriki mkutano huo ni pamoja na Salva Kiir wa Sudan, Samia Suluhu wa Tanzania, William Ruto wa Kenya,Yoweri Museveni wa Uganda na Hassan Sheikh Mohamud wa Somalia (kwenye picha wa tatu kutoka kulia). ...

UNAIDS: Kuheshimu haki za binadamu ni muhimu katika mapambano dhidi ya VVU

Image
  UNAIDS: Kuheshimu haki za binadamu ni muhimu katika mapambano dhidi ya VVU Mpango wa Umoja wa Mataifa wa UKIMWI unachapisha ripoti inayoangazia umuhimu wa haki za binadamu katika kutokomeza janga hili. Ubaguzi, ukosefu wa usawa katika upatikanaji wa matunzo na migogoro ya kiuchumi bado vinapunguza kasi ya maendeleo, na kukumbusha juu ya udharura wa mshikamano wa kimataifa. Imechapishwa: 02/12/2024 - 13:29 Dakika 3 Tangu wagonjwa wa kwanza, VVU imesababisha karibu ...

Marekani: Joe Biden amsamehe mtoto wake Hunter katika visa vya ulaghai na kumiliki silaha

Image
  Marekani: Joe Biden amsamehe mtoto wake Hunter katika visa vya ulaghai na kumiliki silaha Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza siku ya Jumapili kwamba amemsamehe mtoto wake Hunter, ambaye alikuwa akisubiri kuhukumiwa katika kesi za kumiliki silaha kinyume cha sheria na kukwepa kulipa kodi. Imechapishwa: 02/12/2024 - 04:50 Dakika 1 Rais Joe Biden katika Ikulu ya White House, Novemba 13, 2024. © Hannah McKay / Reuters ...

Guinea: Watu wengi wafariki baada ya mechi ya soka mjini N'Zérékoré

Image
  Guinea: Watu wengi wafariki baada ya mechi ya soka mjini N'Zérékoré Hofu yatanda kufuatia vifo vya watu wengi huko N'Zérékoré, kusini-mashariki mwa Guinea, baada ya msongamano wa watu kwenye uwanja wa michezo wa jiji hilo. Hakuna takwimu za kuaminika hadi sasa, lakini picha na video zinazozunguka zinaonyesha maiti nyingi na majeruhi wengi. Fainali ya mashindano ya kandanda ya "Jenerali Mamadi Doumbouya" ilizua taharuki katika dakika za mwisho. Vijana na polisi walihusika, na kusababisha hali ya machafuko. Imechapishwa: 02/12/2024 - 04:40 Dakika 1 ...

Jeshi la Urusi ladai kuangusha ndege zisizo na rubani 47 za Ukraine Rostov

Image
  Jeshi la Urusi ladai kuangusha ndege zisizo na rubani 47 za Ukraine Rostov Jeshi la Urusi limetangaza siku ya Ijumaa Novemba 29, 2024 kwamba limetungua ndege 47 zisizo na rubani za Ukraine usiku ambazo zililenga zaidi eneo la Rostov, linalopakana na Ukraine, ambapo moto mkubwa ulizuka kwenye eneo la viwanda. "Mifumo ya ulinzi wa anga ya Urusi imeharibu ndege zisizo na rubani 47 za Ukraine," zikiwemo ndege 29 katika eneo la Rostov (kusini) ambalo ni makao makuu ya operesheni ya Urusi nchini Ukraine, jeshi limesema katika taarifa. Dakika 1 ...

Donald Trump ataka kusaidia Ukraine na Urusi kufikia mazungumzo

Image
  Donald Trump ataka kusaidia Ukraine na Urusi kufikia mazungumzo Chini ya miezi miwili kabla ya kuapishwa kwa Donald Trump, sasa inafahamika zaidi kuhusu nia ya rais mteule wa Marekani juu ya suala la Ukraine. Donald Trump amemteua jenerali mstaafu Keith Kellogg kuwa mjumbe maalum wa Ukraine na Urusi. Na mshauri huyu wa zamani wa usalama wa kitaifa wa Makamu wa Rais Mike Pence, kisha wa Donald Trump, wakati wa muhula wa kwanza wa Trump ana jukumu ambalo tayari limefafanuliwa kwa kumaliza mzozo. Dakika 1 ...