Mkuu wa NATO Rutte afanya mazungumzo na Trump huko Florida Sudi Mnette

Mkuu wa NATO Rutte afanya mazungumzo na Trump huko Florida Sudi Mnette Saa 14 zilizopitaSaa 14 zilizopita Katibu Mkuu wa NATO Mark Rutte alikutana na Rais mteule wa Marekani Donald Trump huko Palm Beach, Florida, siku ya Ijumaa, msemaji wa muungano huo wa kijeshi ametoa taarifa hiyo Jumamosi. https://p.dw.com/p/4nLjR Nakili kiunganishi Donald Trump empfängt NATO-Generalsekretär Mark Rutte (Archiv) Donald Trump akipeana mkono na Mark Rutte, wakati alipokuwa Waziri Mkuu wa Uholanzi, katika mkutano wa pamoja. Picha: Alex Brandon/AP/dpa/picture alliance Matangazo Taarifa fupi ya msemaji huyo, Farah Dakhlallah ilieleza kwamba viongozi hao "Walijadili masuala mbalimbali ya usalama wa kimataifa yanayoukabili muungano.”Rutteanatazamwa kama mmoja wa kati ya viongozi bora wa Ulaya katika kufanikisha uhusiano mzuri wa kufanya kazi na Trump wakati wa muhula wake wa kwanza, 2017-21 kama rais wa Marekani.

Comments

Popular posts from this blog

Mali: Wanachama wa Azimio la Machi 31 watoa wito wa kuachiliwa kwa wafungwa wa kisiasa

Raia wa Somaliland, eneo lililojitenga na Somalia wanashiriki uchaguzi mkuu

Iran yailaani Daesh (ISIS) kwa kumuua waziri wa serikali Taliban Afghanistan