Trump amteua mfanyabiashara Bessent kama waziri wa fedha

 

Trump amteua mfanyabiashara Bessent kama waziri wa fedha

Saa 18 zilizopita

Rais mteule wa Marekani Donald Trump amemteua mwekezaji Scott Bessent kuwa waziri mpya wa fedha, taarifa hiyo amechapisha kwenye kwenye mtandao wake wa kijamii.

https://p.dw.com/p/4nLV9
Nakili kiunganishi
USA I Ashville - Scott Bessent
Mteule wa urais wa chama cha Republican, Rais wa zamani, Donald Trump, kushoto, akimsikiliza mwekezaji Scott Bessent akizungumza kuhusu uchumi huko Asheville, N.C., Jumatano, Agosti 14, 2024.Picha: Matt Kelley/AP/picture alliance

Besent, 62, ndiye mwanzilishi wa kundi la makampuni ya  "hedge fund Key Square."  Awali alikuwa afisa mkuu wa uwekezaji wa ofisi nyingine iitwayo "Fund Management" na anachukuliwa kuwa mtaalam wa jumla wa ulimwengu uwekezaji.Pamoja na kumtaka awajibike katika kupunuza deni la taifaTrump amesema Besent atashughulikia kushughulikia kukosekana kwa usawa katika biashara ya nje na kuzingatia ukuaji wa uchumi.

Comments

Popular posts from this blog

Mali: Wanachama wa Azimio la Machi 31 watoa wito wa kuachiliwa kwa wafungwa wa kisiasa

Raia wa Somaliland, eneo lililojitenga na Somalia wanashiriki uchaguzi mkuu

Iran yailaani Daesh (ISIS) kwa kumuua waziri wa serikali Taliban Afghanistan