Waasi wa Houthi wa Yemen wazilenga meli za Marekani
Waasi wa Houthi wa Yemen wazilenga meli za Marekani
Saa 2 zilizopitaMatangazo
Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani Jenerali Pat Ryder amethibitisha taarifa hizo mbele ya waandishi wa habari jana Jumanne na kuongeza kuwa walifanikiwa kuyazuia mashambulizi hayo.
Hakuna meli iliyoharibiwa wala mtu aliyeumia.
Tangu Novemba, 2023 waasi wa Houthi walianza kuzishambulia meli hizo kwenye Bahari ya Shamu na Ghuba ya Aden wakidai kulipiza kisasi kufuatia vita vya Israel katika Ukanda wa Gaza.
Comments
Post a Comment